Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na
wananchi wa Migori wakati akiwa njiani kuelekea Isimani mkoani Iringa ambapo
alifungua rasmi Barabara ya Iringa-
Migori hadi Fufu km 189.
PICHA NA IKULU
Taaswira
ya Barabara ya Iringa-Dodoma katika sehemu ya Isimani mkoani Iringa, Barabara
hiyo ya kutoka Iringa- Migori hadi Fufu km 189 imefunguliwa leo na Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli katika kijiji Ndolela
mkoani Iringa.



0 Comments