Mkurugenzi wa uendeshaji wa kamapuni ya Plasco Ltd, Alimiya Osman akiongea na wafanayakazi wanzake wakati wa hafla ya kuwapongeza na kuwatunuku zawadi wafanyakazi bora wa mwaka iliyofanyika jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa uendeshaji wa kamapuni ya Plasco Ltd, Alimiya Osman (kushoto)akimkabidhi zawadi ya TV Thomas Limo baada ya kutangazwa mshindi wa tatu wakati wa hafla ya kuwapongeza na kuwatunuku zawadi wafanyakazi bora wa mwaka wa kampuni hiyo iliyofanyika jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa uendeshaji wa kamapuni ya Plascom Ltd, Alimiya Osman (kushoto)akimkabidhi zawadi ya jiko la umeme na gesi Richard Mlenge mara baada ya kutangazwa kuwa mshindi wa pili wakati wa hafla ya kuwapongeza na kuwatunuku zawadi wafanyakazi bora wa mwaka wa kampuni hiyo iliyofanyika jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wafanyakazi wa kampuni ya Plasco Ltd wakisaidiana kunyenyua friji la mfanyakazi bora wa mwaka wakati wa hafla ya kuwapongeza na kuwatunuku zawadi wafanyakazi bora wa mwaka wa kampuni hiyo iliyofanyika jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa uendeshaji wa kamapuni ya Plascom Ltd, Alimiya Osman (kushoto)akimkabidhi mfanyakazi bora wa mwaka Mussa athuman zawadi ya Friji wakati wa hafla ya kuwapongeza na kuwatunuku zawadi wafanyakazi bora wa mwaka wa kampuni hiyo iliyofanyika jijini Dar es Salaam, wapili kushoto ni Meneja rasilimali watu Phinias Mashauri na mkuu wa fedha Unguu Sulay.
0 Comments